Hebrews 11:24-26

24 aKwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. 25 bAkachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu. 26 cAliona kushutumiwa kwa ajili ya Al-Masihi ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye.
Copyright information for SwhKC